Sunday, October 2, 2011

Mzio (allergy) kwa watoto.

Njugu (karanga, korosho, almonds, walnuts, pecans)ni vitu ambavyo watoto wengi wanakua sensitive navyo hivyo kusababisha mzio kirahisi.
Ili kuepuka kugeuza haka kauso kuwa ......
.......hivi unashauriwa kuwa mwangalifu pale unapompa mtoto mdogo vitu ambavyo ndo anakula kwa mara ya   kwanza.Tukirudi kwenye vitu vya jamii ya njugu ni vizuri kumwonjesha mtoto mwenye miaka mitatu na kuendelea na sio chini ya hapo. 

Ikitokea akawa allergic na kitu baadhi ya dalili za haraka unazoweza kuziona ni kuvimba , kuwashwa uso/macho/pua /koo, upele, kupiga chafya, kukohoa, kutapika, kupumua kwa shida  na hata kuzimia. If the reaction is too strong it might kill you kwahiyo ni vizuri kuwasiliana na mtaalamu au kwenda hospitali kabisa ili kupata matibabu yanayotakiwa.

Sina uhakika kwa hapa kwetu inakuwaje ila kwa wale waliopo nchi za magharibi unaweza ukafanya ALLERGY TESTING kujua ni vyakula au vitu gani visivyopatana na mwili wako.......kwahiyo kama uko kwenye nafasi ya kufanya hivyo fanya hivyo ili kuepuka matatizo hapo baadae.

Be blessed and stay blessed.
L.I.S





No comments:

Post a Comment